18 Mdo 7:5;Mwa 17:8;Kum 1:7;Hes 34:3;2 Nya 9:26;Neh 9:8;Zab 105:11Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati, 19 Mkeni, na Mkenizi, na Mkadmoni, 20 na Mhiti, na Mperizi, na Mrefai, 21 na Mwamori, na Mkanaani, na Mgirgashi, na Myebusi.
Publicidade