3 Kum 12:15;14:3Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapa hivi vyote. 4 1 Sam 14:34;Mdo 15:20,29;Law 7:26-27;17:10-14;19:26;Kum 12:16,23;15:23Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile.
Publicidade