Imani na shangwe katika shida
17 2 Kor 4:8,9Maana mtini hautachanua maua,
Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda;
Taabu ya mzeituni itakuwa bure,
Na mashamba hayatatoa chakula;
Zizini hamtakuwa na kundi,
Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng’ombe;
18 Zab 42:5;Isa 61:10Walakini nitamfurahia BWANA
Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.
19 2 Sam 22:34;Zab 18:33;27:1MUNGU, aliye BWANA, ni nguvu zangu,
Yeye huifanya miguu yangu kuwa kama ya kulungu,
Naye ataniendesha katika mahali pangu palipoinuka.3:19 Na apewe mwimbishaji mkuu kwa vinanda vyangu vyenye nyuzi.