Pular para o conteúdo
Publicidade

Habacuque 3

Imani na shangwe katika shida

17 2 Kor 4:8,9Maana mtini hautachanua maua,

Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda;

Taabu ya mzeituni itakuwa bure,

Na mashamba hayatatoa chakula;

Zizini hamtakuwa na kundi,

Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng’ombe;

18 Zab 42:5;Isa 61:10Walakini nitamfurahia BWANA

Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.

19 2 Sam 22:34;Zab 18:33;27:1MUNGU, aliye BWANA, ni nguvu zangu,

Yeye huifanya miguu yangu kuwa kama ya kulungu,

Naye ataniendesha katika mahali pangu palipoinuka.3:19 Na apewe mwimbishaji mkuu kwa vinanda vyangu vyenye nyuzi.

Veja também

Habacuque
Ver todos os capítulos de Habacuque