Roho wa Mungu amiminiwa
28 Isa 44:3;Yn 7:39;Isa 54:13;Mdo 2:17-21;21:9Hata2:28 Katika Kiebrania ni Sura 3:1. itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, wa kiume na wa kike, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono; 29 1 Kor 12:13;Gal 3:28tena juu ya watumishi wenu, wanaume kwa wanawake, katika siku zile, nitamimina roho yangu.