15 2 The 3:3;1 Yoh 5:18;Mt 6:13;Lk 22:32Mimi siombi kwamba uwatoe katika ulimwengu; bali uwalinde na yule mwovu. 16 Wao si wa ulimwengu, kama mimi nisivyo wa ulimwengu. 17 Yn 6:63Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli. 18 Yn 20:21Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami vivyo hivyo niliwatuma hao ulimwenguni.