Publicidade

João 5

21 Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao. 22 Dan 7:13,14;Mdo 17:31Tena Baba hamhukumu mtu yeyote, bali amempa Mwana hukumu yote; 23 Flp 2:10,11;1 Yoh 2:23;Lk 10:16ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-