22 Yos 6:4,16,20;2 Kor 4:7;1 Sam 14:20;Zab 83:9;Isa 9:4;19:2;2 Nya 20:23Wakazipiga zile tarumbeta mia tatu, naye BWANA akaufanya upanga wa kila mtu uwe juu ya mwenziwe, na juu ya jeshi lote, jeshi likakimbia mpaka Bethshita, kuelekea Serera, hadi mpaka wa Abel-Mehola, karibu na Tabathi.