Publicidade

Lucas 1

30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. 31 Mt 1:21-23;Amu 13:3;Isa 7:14Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume; na jina lake utamwita Yesu. 32 2 Sam 7:12,13,16;Isa 9:7Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye Juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake. 33 Mik 4:7;Dan 7:14Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-