76 Mal 3:1;Mt 3:3Nawe, mtoto, utaitwa nabii wake Aliye Juu,
Kwa maana utatangulia mbele za uso wa Bwana umtengenezee njia zake;
77 Yer 31:34Uwajulishe watu wake wokovu,
Kwa kusamehewa dhambi zao.
76 Mal 3:1;Mt 3:3Nawe, mtoto, utaitwa nabii wake Aliye Juu,
Kwa maana utatangulia mbele za uso wa Bwana umtengenezee njia zake;
77 Yer 31:34Uwajulishe watu wake wokovu,
Kwa kusamehewa dhambi zao.