29 Ninyi msitafute mtakavyokula wala mtakavyokunywa; wala msiwe na wasiwasi, 30 kwa maana, hayo yote ndiyo watafutayo mataifa ya duniani, lakini Baba yenu anajua ya kuwa mna haja na hayo.
29 Ninyi msitafute mtakavyokula wala mtakavyokunywa; wala msiwe na wasiwasi, 30 kwa maana, hayo yote ndiyo watafutayo mataifa ya duniani, lakini Baba yenu anajua ya kuwa mna haja na hayo.