Pular para o conteúdo
Publicidade

Luka 14

Mfano wa karamu kuu

15 Lk 13:29Basi aliposikia hayo mmojawapo wa wale walioketi chakulani pamoja naye alimwambia, Heri yule atakayekula mkate katika ufalme wa Mungu. 24 Maana nawaambia ya kwamba katika wale walioalikwa, hakuna hata mmoja atakayeionja karamu yangu.

Veja também