Pular para o conteúdo
Publicidade

Lucas 22

19 1 Kor 11:23-25;Mdo 27:35Akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema, [Huu ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu. 20 Kut 24:8;Yer 31:31;Zek 9:11Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.]

Veja também