Kubatizwa kwa Yesu
21 Mt 3:13-17;Mk 1:9-11;Yn 1:32Ikawa, watu wote walipokwisha kubatizwa, na Yesu naye amebatizwa, naye anaomba, mbingu zilifunuka; 22 Mwa 22:2;Zab 2:7;Isa 42:1;Mt 3:17;Mk 1:11;Lk 9:35Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili, kama hua; sauti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu; nimependezwa nawe.