Ukoo wa Yesu
23 Mt 1:1-17Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri wa miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli,Lk 4:2224 wa Mathati, wa Lawi, wa Melki, wa Yana, wa Yusufu, 25 wa Matathia, wa Amosi, wa Nahumu, wa Esli, wa Nagai, 26 wa Maathi, wa Matathia, wa Semei, wa Yusufu, wa Yuda, 27 1 Nya 3:17;Ezr 3:2wa Yoana, wa Resa, wa Zerubabeli, wa Shealtieli, wa Neri, 28 wa Melki, wa Adi, wa Kosamu, wa Elmadamu, wa Eri, 29 wa Yoshua, wa Eliezeri, wa Yorimu, wa Mathati, wa Lawi, 30 wa Simeoni, wa Yuda, wa Yusufu, wa Yonamu, wa Eliakimu, 31 1 Sam 16:1,13;2 Sam 5:14wa Melea, wa Mena, wa Matatha, wa Nathani, wa Daudi, 32 Rut 4:22wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni, 33 1 Nya 2:1-5;Mwa 29:35wa Aminadabu, wa Admini, wa Hesroni, wa Peresi, wa Yuda, 34 Mwa 21:2,3;11:10-26;1 Nya 1:24-27wa Yakobo, wa Isaka, wa Abrahamu, wa Tera, wa Nahori, 35 wa Serugi, wa Regau, wa Pelegi, wa Eberi, wa Sala, 36 Mwa 5:3-32;1 Nya 1:1-4;Mwa 4:25;11:10wa Kenani, wa Arfaksadi, wa Shemu, wa Nuhu, wa Lameki, 37 wa Methusela, wa Henoko, wa Yaredi, wa Mahalaleli, wa Kenani, 38 Mwa 5:1-3wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu.