Yesu awaita wanafunzi wa kwanza
16 Mt 4:18-22;Lk 5:1-11Naye alipokuwa akipita kando ya bahari ya Galilaya, akamwona Simoni na Andrea nduguye, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi. 17 Mt 13:47Yesu akawaambia, Njooni mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu. 18 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.