Pular para o conteúdo
Publicidade

Marcos 1

Yesu amtakasa mtu mwenye ukoma

40 Mt 8:2-4;Lk 5:12-16Akaja kwake mtu mwenye ukoma, akamsihi na kumpigia magoti, na kumwambia, Ukitaka, waweza kunitakasa. 41 Naye akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika. 42 Na mara ukoma wake ukamtoka, akatakasika.

Veja também