Kubatizwa kwa Yesu
9 Lk 2:51Ikawa siku zile, Yesu alikuja kutoka Nazareti ya Galilaya, akabatizwa na Yohana katika Yordani.Mt 3:13-17;Lk 3:21-22;Yn 1:31-3410 Mara alipopanda kutoka majini, akaona mbingu zinapasuka, na Roho, kama hua, akishuka juu yake;