Pular para o conteúdo
Publicidade

Marko 15

Kifo cha Yesu

33 Amo 8:9Na ilipokuwa saa sita, palikuwa na giza juu ya nchi yote, hadi saa tisa. 34 Zab 22:1Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também