44 Lakini Pilato akastaajabu, kama amekwisha kufa. Akamwita yule kamanda, akamwuliza kwamba amekufa kitambo. 45 Hata alipokwisha kupata hakika kutoka kwa yule kamanda, alimpa Yusufu yule maiti.
44 Lakini Pilato akastaajabu, kama amekwisha kufa. Akamwita yule kamanda, akamwuliza kwamba amekufa kitambo. 45 Hata alipokwisha kupata hakika kutoka kwa yule kamanda, alimpa Yusufu yule maiti.