Pular para o conteúdo
Publicidade

Mateus 10

2 Mk 3:14-19;Lk 6:13-16;Yn 1:40-49Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya; Wa kwanza Simoni aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye; 3 Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Thadayo; 4 Simoni Mkananayo, na Yuda Iskarioti, naye ndiye aliyemsaliti.

Veja também