28 Mt 12:20;Yer 31:25Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. 29 Yer 6:16Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; 30 1 Yoh 5:3kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
Publicidade