Pular para o conteúdo
Publicidade

Mathayo 22

36 Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu? 37 Kum 6:5Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. 38 Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.

Veja também