Publicidade

Mateus 24

Kuja kwa Mwana wa Adamu

29 Isa 13:10;34:4;Eze 32:7;Yoe 2:10;3:4;3:15;Ufu 6:12-13;2 Pet 3:10Lakini mara tu, baada ya dhiki ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na nguvu za mbinguni zitatikisika; 30 Dan 7:13;Zek 12:10-14;Ufu 1:7;19:11;Mt 26:64ndipo itakapoonekana ishara yake Mwana wa Adamu mbinguni; ndipo mataifa yote ya ulimwengu watakapoomboleza, nao watamwona Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya mbinguni pamoja na nguvu na utukufu mwingi. 31 1 Kor 15:52;1 The 4:16;Ufu 8:1,2;Isa 27:13;Zek 2:6;Kum 30:4Naye atawatuma malaika wake pamoja na sauti kuu ya parapanda, nao watawakusanya wateule wake toka pepo nne, toka mwisho huu wa mbingu mpaka mwisho huu.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-