Pular para o conteúdo
Publicidade

Mateus 26

Yuda akubali kumsaliti Yesu

14 Mk 14:10,11;Lk 22:3-6Wakati huo mmoja wa wale Kumi na Wawili, jina lake Yuda Iskarioti, aliwaendea wakuu wa makuhani, 15 Zek 11:12;Yn 11:57akasema, Ni nini mtakachonipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipande thelathini vya fedha.26:15 Yapata kama shilingi 90.16 1 Tim 6:9,10Tokea wakati huo akawa akitafuta nafasi apate kumsaliti.

Veja também