Kuanzishwa kwa chakula cha Bwana
26 Mt 14:19;1 Kor 11:23-25Nao walipokuwa wakila Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu 27 Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, Kuyweni nyote katika hiki; 28 Kut 24:8;Yer 31:31-34;Zek 9:11kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.