Kusalitiwa na kukamatwa kwa Yesu
47 Mk 14:43-50;Lk 22:47-53;Yn 18:3-12Basi alipokuwa katika kusema, tazama, Yuda, mmoja wa wale Kumi na Wawili akaja, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametoka kwa wakuu wa makuhani na wazee wa watu.
47 Mk 14:43-50;Lk 22:47-53;Yn 18:3-12Basi alipokuwa katika kusema, tazama, Yuda, mmoja wa wale Kumi na Wawili akaja, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametoka kwa wakuu wa makuhani na wazee wa watu.