48 Na yule mwenye kumsaliti alikuwa amewapa ishara, akisema, Nitakayembusu, huyo ndiye; mkamateni. 49 Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu, Rabi, akambusu.
48 Na yule mwenye kumsaliti alikuwa amewapa ishara, akisema, Nitakayembusu, huyo ndiye; mkamateni. 49 Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu, Rabi, akambusu.