59 Yusufu akautwaa mwili, akauzongazonga katika sanda ya kitani safi, 60 Isa 53:9akauweka katika kaburi lake jipya, alilokuwa amelichonga mwambani; akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.
59 Yusufu akautwaa mwili, akauzongazonga katika sanda ya kitani safi, 60 Isa 53:9akauweka katika kaburi lake jipya, alilokuwa amelichonga mwambani; akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.