Pular para o conteúdo
Publicidade

Mathayo 3

16 Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara aliibuka kutoka majini na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, na kutua juu yake; 17 Mwa 22:2;Zab 2:7;Isa 42:1;Mt 12:18;17:5;Mk 1:11;Lk 9:35na tazama, sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também