Publicidade

Mateus 8

16 Hata kulipokuwa jioni, wakamletea wengi wenye pepo; akawatoa pepo kwa neno lake, akawaponya wote waliokuwa wagonjwa, 17 Isa 53:4ili litimie lile neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,

Mwenyewe aliutwaa udhaifu wetu,

Na kuyachukua magonjwa yetu.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-