Pular para o conteúdo
Publicidade

Mateus 9

Msichana arejeshewa uhai na mwanamke kuponywa

18 Mk 5:22-43;Lk 8:41-56Alipokuwa akiwaambia hayo, tazama, akaja kiongozi mmoja, akamsujudia, akisema, Binti yangu sasa hivi amekufa; lakini njoo, uweke mkono wako juu yake, naye ataishi. 19 Yesu Akaondoka, akamfuata, pamoja na wanafunzi wake.

Veja também