6 Zab 62:12;Mit 24:12;Mt 16:27;Yn 5:29;2 Kor 5:10atakayemlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake; 7 wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele; 8 2 The 1:8na wale wenye fitina, wasioitii kweli, bali wakubalio dhuluma, watapata hasira na ghadhabu;
Publicidade