Pular para o conteúdo
Publicidade

Warumi 5

Matokeo ya kuhesabiwa haki

1 Rum 3:24,28;4:24;Isa 53:5Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na muwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, 2 Efe 3:12;Rum 3:23ambaye kwa yeye tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo mnasimama ndani yake; na kufurahi katika tumaini la utukufu wa Mungu.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também