24 2 Kor 5:7Kwa maana tuliokolewa kwa tumaini; lakini kitu kilichotumainiwa kikionekana, hakiwi tumaini tena. Kwa maana ni nani anayekitumainia kile akionacho? 25 Bali tukikitumainia kitu tusichokiona, twakingojea kwa subira.
24 2 Kor 5:7Kwa maana tuliokolewa kwa tumaini; lakini kitu kilichotumainiwa kikionekana, hakiwi tumaini tena. Kwa maana ni nani anayekitumainia kile akionacho? 25 Bali tukikitumainia kitu tusichokiona, twakingojea kwa subira.