8 Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu. 9 1 Kor 3:16;12:3Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.
8 Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu. 9 1 Kor 3:16;12:3Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.