11 Maana neema ya Mungu iwaokoao wanadamu wote imefunuliwa; 12 Efe 1:4;1 Yoh 2:16nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa;
11 Maana neema ya Mungu iwaokoao wanadamu wote imefunuliwa; 12 Efe 1:4;1 Yoh 2:16nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa;