Pular para o conteúdo
Publicidade

Tito 3

4 Tit 2:11;Mit 8:31Lakini wema wake Mungu Mwokozi wetu, na upendo wake kwa wanadamu, ulipofunuliwa, alituokoa; 5 Efe 2:8,9;5:26;Yn 3:5;2 Tim 1:9si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake, kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa mara ya pili na kufanywa upya na Roho Mtakatifu; 6 Yoe 2:28ambaye alitumwagia kwa wingi, kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu;

Veja também

Tito
Ver todos os capítulos de Tito