3 Mimi niliwakabidhi ninyi mambo muhimu sana ambayo mimi niliyapokea: kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na Maandiko Matakatifu;4 kwamba alizikwa, akafufuka siku ya tatu kama ilivyoandikwa;5 kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili.6 Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa mara moja; wengi wao wanaishi bado, lakini baadhi yao wamekwisha kufa.
Publicidade
1 Coríntios 15
Veja também
Publicidade