Publicidade

1 Coríntios 15

3 Mimi niliwakabidhi ninyi mambo muhimu sana ambayo mimi niliyapokea: kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na Maandiko Matakatifu;4 kwamba alizikwa, akafufuka siku ya tatu kama ilivyoandikwa;5 kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili.6 Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa mara moja; wengi wao wanaishi bado, lakini baadhi yao wamekwisha kufa.

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-04-20_11-41-06-