3 maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,4 maana kila aliye mtoto wa Mungu anaweza kuushinda ulimwengu. Hivi ndivyo tunavyoushinda ulimwengu: kwa imani yetu.5 Nani, basi, awezaye kuushinda ulimwengu? Ni yule anayeamini kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
Publicidade
1 João 5
Veja também
Publicidade