1 Kwanza kabisa, basi naomba dua, sala, maombi na sala za shukrani zitolewe kwa Mungu kwa ajili ya watu wote,2 kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi maisha ya utulivu na amani pamoja na uchaji wa Mungu na mwenendo mwema.3 Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,
Publicidade
1 Timóteo 2
Veja também
Publicidade