8 Nilimsihi Bwana mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke.9 Lakini akaniambia: "Neema yangu inatosha kwa ajili yako; maana uwezo wangu hukamilishwa zaidi katika udhaifu." Basi, ni radhi kabisa kujivunia udhaifu wangu ili uwezo wake Kristo ukae juu yangu.
Publicidade
2 Coríntios 12
Veja também
Publicidade