5 Kwa sababu hiyo, fanyeni bidii ya kuongeza fadhila katika imani yenu: ongezeni elimu katika fadhila yenu,6 kuwa na kiasi katika elimu yenu, uvumilivu katika kuwa na kiasi, uchaji wa Mungu katika uvumilivu wenu,7 udugu katika uchaji wenu, na mapendo katika udugu wenu.
Publicidade
2 Pedro 1
Veja também
Publicidade