1 Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu.2 watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;3 watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema;
Publicidade
2 Timóteo 3
Veja também
Publicidade