3 Utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mafundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayari kusikia.4 Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.
Publicidade
2 Timóteo 4
Veja também
Publicidade