2 Nafanya hivi kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe.3 Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.
Publicidade
Colossenses 2
Veja também
Publicidade