Publicidade

Efésios 5

19 Zungumzeni kwa maneno ya Zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Bwana nyimbo na zaburi kwa shukrani mioyoni mwenu.20 Mshukuruni Mungu Baba daima kwa ajili ya yote, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo.21 Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababu ya kumcha Kristo.

Veja também

Publicidade
Efésios
Ver todos os capítulos de Efésios