1 Ndugu, kama mkimwona mtu fulani amekosea, basi, ninyi mnaoongozwa na Roho mwonyeni mtu huyo ajirekebishe; lakini fanyeni hivyo kwa upole, mkiwa na tahadhari msije nanyi wenyewe mkajaribiwa.2 Saidianeni kubeba mizigo yenu na hivyo mtatimiza sheria ya Kristo.
Publicidade
Gálatas 6
Veja também
Publicidade