Publicidade

Gálatas 6

7 Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.8 Apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho uzima wa milele.9 Basi, tusichoke kutenda mema; maana tusipolegea tutavuna mavuno kwa wakati wake.10 Kwa hiyo, tukiwa bado na wakati, tuwatendee watu wote mema, na hasa ndugu wa imani yetu.

Publicidade

Veja também

Publicidade
Gálatas
Ver todos os capítulos de Gálatas