7 Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.8 Apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho uzima wa milele.9 Basi, tusichoke kutenda mema; maana tusipolegea tutavuna mavuno kwa wakati wake.10 Kwa hiyo, tukiwa bado na wakati, tuwatendee watu wote mema, na hasa ndugu wa imani yetu.
Publicidade
Gálatas 6
Publicidade
Veja também
Publicidade