24 Kwa imani Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.25 Aliona ni afadhali kuteseka pamoja na watu wa Mungu kuliko kufurahia raha ya dhambi kwa kitambo kidogo.26 Alitambua kwamba kuteseka kwa ajili ya Masiha kuna faida kubwa zaidi kuliko utajiri wote wa nchi ya Misri, maana alikuwa anatazamia tuzo la baadaye.
Publicidade
Hebreus 11
Veja também
Publicidade