28 Sisi basi, na tushukuru kwani tunapokea utawala usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu Mungu kwa namna itakayompendeza, kwa ibada na hofu;29 maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza.
Publicidade
Hebreus 12
Veja também
Publicidade
28 Sisi basi, na tushukuru kwani tunapokea utawala usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu Mungu kwa namna itakayompendeza, kwa ibada na hofu;29 maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza.